Paula Elizabeti Cerioli
Paula Elizabeti Cerioli (Soncino, Italia, 28 Januari 1816 - Comonte di Seriate, 24 Desemba 1865) alikuwa mwanamke mjane aliyeanzisha mashirika ya Familia Takatifu huko Bergamo[1].
Papa Pius XII alimtangaza mwenye heri tarehe 19 Machi 1950, halafu Papa Yohane Paulo II alimtangaza mtakatifu tarehe 16 Mei 2004[2].
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
- Catholic World News
- http://www.istitutosacrafamigliabg.it/ Tovuti rasmi ya mashirika yake
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz