1950
mwaka
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |Karne ya 19 |Karne ya 20| Karne ya 21
◄ |Miaka ya 1920 |Miaka ya 1930 |Miaka ya 1940 |Miaka ya 1950| Miaka ya 1960| Miaka ya 1970| Miaka ya 1980| ►
◄◄ |◄ |1946 |1947 |1948 |1949 |1950| 1951| 1952| 1953| 1954| ►| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1950 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
Kalenda ya Gregori | 2024 MMXXIV |
Kalenda ya Kiyahudi | 5784 – 5785 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2777 |
Kalenda ya Ethiopia | 2016 – 2017 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1473 ԹՎ ՌՆՀԳ |
Kalenda ya Kiislamu | 1446 – 1447 |
Kalenda ya Kiajemi | 1402 – 1403 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2079 – 2080 |
- Shaka Samvat | 1946 – 1947 |
- Kali Yuga | 5125 – 5126 |
Kalenda ya Kichina | 4720 – 4721 癸卯 – 甲辰 |
Waliozaliwa
- 1 Januari - Mudhihir Mohamed Mudhihir, mwanasiasa wa Tanzania
- 15 Januari - Anna Valerian Komu, mwanasiasa wa Tanzania
- 12 Februari - George Malima Lubeleje, mwanasiasa wa Tanzania
- 18 Machi - Brad Dourif, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 5 Aprili - Agnetha Fältskog, mwanabendi wa ABBA na mwanamuziki kutoka Uswidi
- 9 Mei - Jorie Graham, mshairi kutoka Marekani
- 13 Mei - Stevie Wonder, mwanamuziki wa Marekani
- 16 Mei - Johannes Bednorz, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1987
- 29 Mei - Frederick Sumaye, Waziri Mkuu wa 9 wa Tanzania
- 8 Juni - Teddy Louise Kasela-Bantu, mwanasiasa kutoka Tanzania
- 27 Agosti - Charles Fleischer, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 9 Septemba - Zubain Muhaji Mhita, mwanasiasa wa Tanzania
- 5 Oktoba - Edward P. Jones, mwandishi kutoka Marekani
- 7 Oktoba - Jakaya Kikwete (Rais wa awamo ya nne wa Tanzania)
- 14 Oktoba - John Zefania Chiligati, mwanasiasa wa Tanzania na Waziri wa Ardhi (2005-2010)
- 1 Novemba - Robert Laughlin, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1998
- 3 Novemba - James Rothman, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 2013
- 28 Novemba - Russell Hulse, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia, mwaka wa 1993
bila tarehe
- Christopher Mtikila, mwanasiasa kutoka Tanzania
Waliofariki
- 10 Januari - Ernest Poole, mwandishi kutoka Marekani
- 21 Januari - George Orwell
- 25 Februari - George Minot, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1934
- 19 Machi - Norman Haworth, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 1937
- 19 Machi - Edgar Rice Burroughs
- 14 Aprili - Frances Ford Seymour, mke wa pili wa Henry Fonda, alijiua
- 4 Mei - William Rose Benét, mshairi kutoka Marekani
- 10 Mei - John Gould Fletcher, mwandishi na mshairi kutoka Marekani
- 8 Julai - Siti Binti Saad, mwanamuziki Mtanzania
- 17 Julai - Evangeline Booth
- 18 Julai – Carl Van Doren, mwandishi wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1939
- 23 Agosti - Frank Phillips
- 11 Septemba - Jan Christian Smuts
- 19 Oktoba - Edna St. Vincent Millay, mshairi wa kike kutoka Marekani
- 29 Oktoba - Mfalme Gustaf V wa Sweden
- 2 Novemba - George Bernard Shaw, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1925
- 25 Novemba - Johannes Vilhelm Jensen, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1944
- 12 Desemba - Peter Fraser
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz