Rafaela Maria wa Moyo Mtakatifu
Rafaela Maria wa Moyo Mtakatifu (jina la kuzaliwa: Rafaela Porras Ayllón; Pedro Abad, Córdoba, 1 Machi 1850 - Roma, Italia, 6 Januari 1925) alikuwa bikira wa Hispania aliyeanzisha pamoja na dada yake shirika la Wajakazi wa Moyo Mtakatifu wa Yesu.
Aliliongoza kama mkuu wa kwanza hadi alipong'atuka mwaka 1893. Akidhaniwa amerukwa na akili, alivumilia hadi mwisho mateso na dharau kama toba yake[1].
Alitangazwa mwenye heri na Papa Pius XII tarehe 18 Mei 1952 halafu mtakatifu na Papa Paulo VI tarehe 23 Januari 1977.[2]
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz