1952
mwaka
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |Karne ya 19 |Karne ya 20| Karne ya 21
◄ |Miaka ya 1920 |Miaka ya 1930 |Miaka ya 1940 |Miaka ya 1950| Miaka ya 1960| Miaka ya 1970| Miaka ya 1980| ►
◄◄ |◄ |1948 |1949 |1950 |1951 |1952| 1953| 1954| 1955| 1956| ►| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1952 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
Kalenda ya Gregori | 2024 MMXXIV |
Kalenda ya Kiyahudi | 5784 – 5785 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2777 |
Kalenda ya Ethiopia | 2016 – 2017 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1473 ԹՎ ՌՆՀԳ |
Kalenda ya Kiislamu | 1446 – 1447 |
Kalenda ya Kiajemi | 1402 – 1403 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2079 – 2080 |
- Shaka Samvat | 1946 – 1947 |
- Kali Yuga | 5125 – 5126 |
Kalenda ya Kichina | 4720 – 4721 癸卯 – 甲辰 |
Waliozaliwa
- 1 Februari - Roger Tsien, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 2008
- 22 Februari - Kipkalya Kones, mwanasiasa wa Kenya
- 25 Februari - Mohamed Said, mwandishi kutoka Tanzania
- 15 Machi - Willy Puchner, msanii kutoka Austria
- 10 Aprili - Steven Seagal, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 11 Mei - Mary Nagu, mwanasiasa wa Tanzania
- 14 Mei - David Byrne, mwanamuziki wa Marekani
- 6 Juni - Ibrahim Lipumba, mwanasiasa kutoka Tanzania
- 7 Juni - Orhan Pamuk, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 2006
- 7 Juni - Liam Neeson, mwigizaji wa filamu kutoka Ireland
- 1 Julai - Brian George, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 8 Agosti - Jostein Gaarder, mwandishi Mnorwei
- 18 Agosti - Patrick Swayze, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 28 Agosti - Rita Dove, mshairi kutoka Marekani
- 6 Novemba - Michael Cunningham, mwandishi kutoka Marekani
- 9 Novemba - Jack Szostak, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 2009
- 9 Desemba - Ludovic Minde, askofu Mkatoliki nchini Tanzania
- 27 Desemba - Salome Joseph Mbatia, mwanasiasa wa kike kutoka Tanzania
bila tarehe
- Yayi Boni, Rais wa Benin
- Oliver Mtukudzi, mwanamuziki wa Zimbabwe
- Charity Ngilu, mwanasiasa wa Kenya
- Venkatraman Ramakrishnan, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 2009
Waliofariki
- 6 Februari - Mfalme George VI wa Uingereza
- 19 Februari - Knut Hamsun, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1920
- 22 Februari - Kaarlo Juho Stahlberg, Rais wa Ufini
- 4 Machi - Charles Scott Sherrington, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1932
- 6 Mei - Maria Montessori, daktari na mwalimu kutoka Italia
- 18 Agosti - Mtakatifu Alberto Hurtado, padre Mkatoliki kutoka Chile
- 29 Septemba - George Santayana, mwanafalsafa na mwandishi kutoka Hispania na Marekani
- 30 Septemba - Viscount Waldorf Astor
- 28 Oktoba - Billy Hughes, Waziri Mkuu wa Australia
- 9 Novemba - Chaim Weizmann, Rais wa Israel
- 18 Novemba - Paul Eluard, mshairi Mfaransa
- 26 Novemba - Sven Hedin, mpelelezi wa Asia ya Kati kutoka Sweden
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz