Uchafuzi wa ardhi
kuanzishwa kwa uchafuzi katika mazingira ya asili ambayo husababisha mabadiliko mabaya
Uchafuzi wa Ardhi husababishwa kwa kuwepo na kemikali za xenobiotic (zinazotengenezwa na binadamu) au mabadiliko mengine ya mazingira ya asili ya udongo. Kwa kawaida husababishwa na shughuli za viwanda, kemikali za kilimo au utupaji holela wa taka.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz