Ni kwamba, baada ya kumpatia kaisari huyo utetezi wa Wakristo, alitolewa kwa mtawala Rusticus akakiri imani mbele yake na kwa ajili hiyo aliuawa pamoja na wanafunzi wake sita (Karitoni, Karito, Evelpisto, Gerasi, Peoni na Liberiani) [1].
Koester, Helmut (1956). "Septuaginta und Synoptischer Erzählungsstoff im Schriftbeweis Justins des Märtyrers". Theol. Habilitationsschrift. Heidelberg.
Rokeah, David (2002). Justin Martyr and the Jews. Brill. ISBN 90 04 12310 5.
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.