1985
mwaka
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |Karne ya 19 |Karne ya 20| Karne ya 21
◄ |Miaka ya 1950 |Miaka ya 1960 |Miaka ya 1970 |Miaka ya 1980| Miaka ya 1990| Miaka ya 2000| Miaka ya 2010
◄◄ |◄ |1981 |1982 |1983 |1984 |1985| 1986| 1987| 1988| 1989| ►| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1985 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
- 1985 - Shirika la Bidhaa Pepe Huru lilianzishwa na Richard Stallman kutoka nchi ya Marekani
Waliozaliwa
Kalenda ya Gregori | 2024 MMXXIV |
Kalenda ya Kiyahudi | 5784 – 5785 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2777 |
Kalenda ya Ethiopia | 2016 – 2017 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1473 ԹՎ ՌՆՀԳ |
Kalenda ya Kiislamu | 1446 – 1447 |
Kalenda ya Kiajemi | 1402 – 1403 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2079 – 2080 |
- Shaka Samvat | 1946 – 1947 |
- Kali Yuga | 5125 – 5126 |
Kalenda ya Kichina | 4720 – 4721 癸卯 – 甲辰 |
- 2 Februari - Dennis Oliech, mchezaji wa mpira kutoka Kenya
- 5 Februari - Cristiano Ronaldo, mchezaji wa mpira kutoka Ureno
- 7 Februari - Tegan Moss, mwigizaji kutoka Kanada
- 9 Februari - Emmanuel Adebayor, mchezaji wa mpira kutoka Togo
- 17 Februari - Anne Curtis, mwigizaji filamu kutoka Ufilipino na Australia
- 31 Machi - Mr Puaz, mwanamuziki wa Tanzania
- 6 Mei - Faraja Kotta, mrembo wa Tanzania mwaka wa 2004
- 4 Agosti - Antonio Valencia, mchezaji mpira kutoka Ekwador
- 22 Agosti - Jimmy Needham, mwanamuziki kutoka Marekani
- 31 Agosti - Eddie Anaclet, mchezaji wa mpira kutoka Tanzania
- 30 Septemba - T-Pain, mwanamuziki kutoka Marekani
- 28 Oktoba - Wayne Rooney, mchezaji wa mpira kutoka Uingereza
- 14 Novemba - Thomas Vermaelen, mchezaji mpira wa Ubelgiji
- 16 Novemba - Aminata Niaria, mwanamitindo kutoka Senegal
- 29 Desemba - Kassim Bizimana, mchezaji mpira kutoka Burundi
Waliofariki
- 28 Februari - Ferdinand Alquié, mwanafalsafa wa Ufaransa
- 17 Mei - Abe Burrows, mwandishi kutoka Marekani
- 16 Julai - Heinrich Boll, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 1972
- 31 Agosti - Frank Burnet, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1960
- 6 Septemba - Rodney Porter, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1972
- 8 Septemba - John Enders, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1954
- 9 Septemba - Paul Flory, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1974
- 1 Oktoba – Elwyn Brooks White, mwandishi wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1978
- 10 Oktoba - Yul Brynner, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
Viungo vya nje
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz