1986
mwaka
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |Karne ya 19 |Karne ya 20| Karne ya 21
◄ |Miaka ya 1950 |Miaka ya 1960 |Miaka ya 1970 |Miaka ya 1980| Miaka ya 1990| Miaka ya 2000| Miaka ya 2010
◄◄ |◄ |1982 |1983 |1984 |1985 |1986| 1987| 1988| 1989| 1990| ►| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1986 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
- 25 Aprili - Mswati III wa Uswazi anapewa utawala wa kifalme.
Waliozaliwa
Kalenda ya Gregori | 2024 MMXXIV |
Kalenda ya Kiyahudi | 5784 – 5785 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2777 |
Kalenda ya Ethiopia | 2016 – 2017 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1473 ԹՎ ՌՆՀԳ |
Kalenda ya Kiislamu | 1446 – 1447 |
Kalenda ya Kiajemi | 1402 – 1403 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2079 – 2080 |
- Shaka Samvat | 1946 – 1947 |
- Kali Yuga | 5125 – 5126 |
Kalenda ya Kichina | 4720 – 4721 癸卯 – 甲辰 |
- 18 Januari - Ropa Garise, mwanamitindo kutoka Zimbabwe
- 11 Machi - Evans Wadongo, mhandisi wa Kenya
- 13 Machi - Nina Sky, wanamuziki mapacha kutoka Marekani
- 28 Machi - Lady Gaga, mwanamuziki kutoka Marekani
- 1 Julai - Agnez Mo, mwimbaji kutoka Indonesia
- 7 Agosti - Nancy Sumari, mrembo wa Tanzania, mwaka wa 2005
- 21 Agosti - Usain Bolt, mwanariadha kutoka Jamaika
- 26 Septemba - Brooke Allison, mwimbaji kutoka Marekani
- 24 Oktoba - Aubrey Drake Graham, mwanamuziki kutoka Kanada
- 10 Novemba - Samuel Wanjiru, mwanariadha kutoka Kenya
- 26 Novemba - Ali Kiba, mwanamuziki kutoka Tanzania
bila tarehe
- Kinée Diouf, mwanamitindo kutoka Senegal
- Nasreem Ndiye, Miss Tanzania 2008
- Fredinah Peyton, mwanamuziki kutoka Tanzania
Waliofariki
- 10 Januari - Jaroslav Seifert, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1984
- 28 Januari - Gregory Jarvis, Christa McAuliffe, Ronald McNair, Ellison Onizuka, Judith Resnik, Dick Scobee, Michael J. Smith
- 18 Machi - Bernard Malamud, mwandishi kutoka Marekani
- 17 Aprili – Bessie Head, mwandishi wa Afrika Kusini na Botswana
- 9 Mei - Tenzing Norgay, mpelelezi kutoka Nepal
- 31 Mei - James Rainwater, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1975
- 13 Juni - Benny Goodman, mwanamuziki kutoka Marekani
- 14 Juni - Jorge Luis Borges, mwandishi kutoka Argentina
- 24 Julai - Fritz Lipmann, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1953
- 25 Septemba - Nikolay Semyonov, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 1956
- 22 Oktoba - Albert Szent-Györgyi, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1937
- 23 Oktoba - Edward Doisy, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1943
- 31 Oktoba - Robert Mulliken, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1966
Viungo vya nje
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz