1981
mwaka
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |Karne ya 19 |Karne ya 20| Karne ya 21
◄ |Miaka ya 1950 |Miaka ya 1960 |Miaka ya 1970 |Miaka ya 1980| Miaka ya 1990| Miaka ya 2000| Miaka ya 2010
◄◄ |◄ |1977 |1978 |1979 |1980 |1981| 1982| 1983| 1984| 1985| ►| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1981 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
- 21 Septemba - Nchi ya Belize inapata uhuru kutoka Uingereza.
Waliozaliwa
Kalenda ya Gregori | 2024 MMXXIV |
Kalenda ya Kiyahudi | 5784 – 5785 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2777 |
Kalenda ya Ethiopia | 2016 – 2017 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1473 ԹՎ ՌՆՀԳ |
Kalenda ya Kiislamu | 1446 – 1447 |
Kalenda ya Kiajemi | 1402 – 1403 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2079 – 2080 |
- Shaka Samvat | 1946 – 1947 |
- Kali Yuga | 5125 – 5126 |
Kalenda ya Kichina | 4720 – 4721 癸卯 – 甲辰 |
- 31 Januari - Justin Timberlake, mwanamuziki kutoka Marekani
- 1 Machi - Párvusz, msanii na mchoraji kutoka Hungaria
- 1 Aprili - Dan Mintz, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 15 Mei - Patrice Evra, mchezaji mpira wa Ufaransa
- 18 Mei - George Miok, mwanajeshi wa Kanada
- 20 Mei - Amina Chifupa, mwanasiasa wa Tanzania
- 5 Julai - Ambwene Yessayah, mwanamuziki kutoka Tanzania
- 29 Julai - Fernando Alonso, dereva wa Formula One kutoka Hispania
- 8 Agosti - Roger Federer, mchezaji tenisi kutoka Uswisi
- 14 Agosti - Ray William Johnson, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 19 Agosti - Yvonne Cherrie, mwigizaji wa filamu kutoka Tanzania
- 4 Septemba - Beyoncé, mwimbaji kutoka Marekani
- 14 Septemba - Patrick Garcia, mwigizaji filamu kutoka Ufilipino
- 26 Septemba - Christina Milian, mwanamuziki wa Marekani
- 30 Oktoba - Muna Lee, mwanariadha wa Olimpiki kutoka Marekani
- 1 Desemba - Khamis Mussa, mwigizaji na mwanamuziki kutoka Tanzania
- 2 Desemba - Britney Spears, mwanamuziki na mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 3 Desemba - David Villa, mchezaji mpira wa Hispania
- 11 Desemba - Mohamed Zidan, mchezaji mpira kutoka Misri
bila tarehe
- Nonini (au Hubert Nakitare), mwanamuziki kutoka Kenya
- Khalid Mohamed, mwanamuziki wa Bongo Flava kutoka Tanzania
Waliofariki
- 5 Januari - Harold Urey, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 1934
- 11 Februari - Ketti Frings, mwandishi kutoka Marekani
- 9 Machi - Max Delbruck, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1969
- 4 Mei - Paul Green, mwandishi wa tamthiliya kutoka Marekani
- 11 Mei - Odd Hassel, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1969
- 11 Mei - Bob Marley, mwanamuziki kutoka Jamaika
- 18 Mei - William Saroyan, mwandishi Mmarekani (na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1940, aliyoikataa)
- 8 Septemba - Hideki Yukawa, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1949
- 12 Septemba - Eugenio Montale, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1975
- 6 Oktoba - Anwar Sadat, rais wa Misri, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani mwaka 1971
- 20 Oktoba - Mary Chase, mwandishi kutoka Marekani
- 22 Novemba - Hans Krebs, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1953
Viungo vya nje
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz