1974
mwaka
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |Karne ya 19 |Karne ya 20| Karne ya 21
◄ |Miaka ya 1940 |Miaka ya 1950 |Miaka ya 1960 |Miaka ya 1970| Miaka ya 1980| Miaka ya 1990| Miaka ya 2000| ►
◄◄ |◄ |1970 |1971 |1972 |1973 |1974| 1975| 1976| 1977| 1978| ►| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1974 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
- 10 Septemba - Nchi ya Guinea Bisau inapata uhuru rasmi kutoka Ureno.
- 12 Septemba - Kaisari Haile Selassie wa Ethiopia anapinduliwa na wanajeshi wa DERG.
Waliozaliwa
Kalenda ya Gregori | 2024 MMXXIV |
Kalenda ya Kiyahudi | 5784 – 5785 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2777 |
Kalenda ya Ethiopia | 2016 – 2017 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1473 ԹՎ ՌՆՀԳ |
Kalenda ya Kiislamu | 1446 – 1447 |
Kalenda ya Kiajemi | 1402 – 1403 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2079 – 2080 |
- Shaka Samvat | 1946 – 1947 |
- Kali Yuga | 5125 – 5126 |
Kalenda ya Kichina | 4720 – 4721 癸卯 – 甲辰 |
- 5 Februari - Omarosa Manigault, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 16 Februari - Johnny Tri Nguyen, mwigizaji filamu wa Kimarekani kutoka Vietnam Kusini
- 28 Februari - David Hellenius, mwigizaji wa filamu kutoka Uswidi
- 12 Machi - Scarlet Ortiz, mwigizaji filamu kutoka Venezuela
- 4 Julai - Mick Wingert, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 22 Julai - Franka Potente, mwigizaji filamu kutoka Ujerumani
- 24 Julai - Eugene Mirman, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 15 Agosti - Natasha Henstridge, mwigizaji filamu kutoka Kanada
- 18 Septemba - Xzibit, mwanamuziki wa Marekani
- 12 Novemba - Ralf Krewinkel, mwanasiasa kutoka Uholanzi
- 30 Desemba - Khalilou Fadiga, mchezaji mpira kutoka Senegal
bila tarehe
Waliofariki
- 9 Machi - Earl Sutherland, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1971
- 18 Aprili - Marcel Pagnol, mwandishi kutoka Ufaransa
- 24 Mei - Duke Ellington, mwanamuziki wa Jazz kutoka Marekani
- 9 Juni - Miguel Asturias, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1967
- 18 Juni - George Kelly, mwandishi kutoka Marekani
- 11 Julai - Par Lagerkvist, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 1951
- 13 Julai - Patrick Blackett, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1948
- 23 Julai - James Chadwick, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1935
- 4 Oktoba - Anne Sexton, mshairi kutoka Marekani
Viungo vya nje
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz