Kiholanzi
Lugha ya Kijerumani Magharibi
Kiholanzi ni lugha inayozungumzwa nchini Uholanzi, Ubelgiji na Surinam na watu milioni 23. Katika Uholanzi inaitwa "Nederlands" na katika Ubelgiji inaitwa "Vlaams".
Kiholanzi ni lugha ya Kigermanik ya magharibi katika jamii ya lugha za Kihindi-Kiulaya.
Kiafrikaans cha Afrika Kusini ni lugha iliyotoka katika Kiholanzi. Kijerumani ya Kaskazini ni karibu sana na Kiholanzi.
Viungo vya nje
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz