Krakov

Krakov (kwa lugha ya Kipolandi: Kraków, Kiingereza: Cracow, Kilatini: Cracovia) ni mji wa Poland. Mji huo ulikuwa na watu 759,144 mwaka wa 2014.[1] [2]Krakov ilikuwa mji mkuu wa Poland kuanzia mwaka wa 1038 hadi 1596.

Krakov, Poland


Krakov
Krakov is located in Poland
Krakov
Krakov

Mahali pa Krakov katika Earth

Majiranukta: 50°04′00″N 19°56′00″E / 50.06667°N 19.93333°E / 50.06667; 19.93333
NchiPoland
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 759 800 (30.06.2014)
Tovuti:  http://www.krakow.pl/

Viungo vya nje

Marejeo

Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Krakov kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.