Leonardo Murialdo

Leonardo Murialdo (Torino, Italia, 26 Oktoba 1828 – Torino, 30 Machi 1900) alikuwa padri wa Kanisa Katoliki na mwanzilishi wa Shirika la Mt. Yosefu kwa ajili ya watoto wa mitaani ili waweze kufahamu imani na upendo wa Kikristo[1].

Picha yake ya uzeeni.

Papa Paulo VI alimtangaza mwenye heri tarehe 3 Novemba 1963 na mtakatifu tarehe 3 Mei 1970.

Sikukuu yake ni tarehe 30 Machi[2].

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.