Maria Dominika Mantovani
Maria Dominika Mantovani (Brenzone sul Garda, Italia, 12 Novemba 1862 – Brenzone sul Garda, 2 Februari 1934) alikuwa bikira aliyeanzisha shirika la Masista Wadogo wa Familia Takatifu lililokubaliwa na Papa Pius XI tarehe 3 Juni 1932.
Tarehe 27 Aprili 2003 alitangazwa mwenye heri na Papa Yohane Paulo II, halafu tarehe 15 Mei 2022 alitangazwa mtakatifu na Papa Fransisko.[1]
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
- http://www.santiebeati.it/dettaglio/91254%7C Maria Domenica Mantovani
- http://www.causesanti.va/it/santi-e-beati/maria-domenica-mantovani.html Maria Domenica Mantovani
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz