Maziwa ya soya
Maziwa ya soya ni kinywaji kinachofanana na maziwa lakini kinatokana na mbegu za soya.
Maziwa ya soya yana asili yake huko China ambapo soya imetoka. Baadaye, mimea ya soya na vyakula vyake vilikuja Japan, hatimaye kusambaa kote duniani.
Walaji mboga upande wa vegani wanaitumia kwa sababu haina uhusiano na wanyama, wengine wanaipendelea kwa sababu za kiafya[1]. Katika Ulaya hairuhusiwi kuuzwa kwa jina la "maziwa"[2].
Marejeo
Makala hii kuhusu mambo ya utamaduni bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Maziwa ya soya kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz