Mosul

Mosul (kwa Kiarabu الموصل, al-Mawṣil, el-Mōṣul; kwa Kikurdi مووسڵ, kwa Kiaramu ܡܘܨܠ, Māwṣil) ni mji wa Iraq kaskazini, kilometa 400 hivi mbali na Baghdad, kwenye ukingo wa magharibi wa mto Tigris, mkabala wa mji wa kale Ninawi uliokuwa kwenye ukingo wa mashariki.

Ramani ya Mosul.
Mji wa Iraq wa Mosul
Mji wa Iraq wa Mosul

Jiji lina wakazi 1,846,500 (2004)[1]wa makabila, dini na madhehebu mbalimbali[2][3][4].

Tanbihi

Vyanzo

Viungo vya nje

Wikimedia Commons ina media kuhusu:

Mosul travel guide kutoka Wikisafiri

Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.


Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.