Nadine Gordimer

Mwandishi kutokea nchi ya Afrika Kusini

Nadine Gordimer (20 Novemba 1923 - 13 Julai 2014) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Afrika Kusini. Hasa aliandika riwaya dhidi ya siasa ya ubaguzi wa rangi (yaani apartheid), na kuonyesha uharibifu katika maisha ya Waafrika. Mwaka wa 1991 alishinda Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Nadine Gordimer

Amezaliwa20 Novemba 1923 (1923-11-20) (umri 100)
Afrika Kusini
Amekufa13 July 2014
NchiAfrika Kusini
Kazi yakeMwandishi
NdoaGerald Gavron (1949-?; waliwachana; mtoto 1)
Reinhold Cassirer (1954-2001; mtoto 1)

Angalia pia

Marejeo

  • Chapman, Michael. 2003. Southern African Literatures, University of Natal Press. ISBN 1-86914-028-1
Makala hii kuhusu mwandishi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Nadine Gordimer kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.