Pato la taifa
Pato la taifa au jumla ya pato la taifa (kifupi: JPT) ni kipimo cha thamani ya sokoni ya bidhaa na huduma zote zinazozalishwa ndani ya nchi katika muda fulani.[1]
JPT hutumiwa kwa kawaida na serikali ya nchi ili kupima afya ya uchumi wake. Kipimo hicho mara nyingi hurekebishwa kabla ya kufikiriwa kuwa kiashiria cha kuaminika.[2]
Pato halisi la taifa
Pato kamili, yaani pato lisilorekebishwa, halihesabu gharama za maisha zinazotofautiana nchi kwa nchi. Kwa hiyo, wachumi mara nyingi hutoa taarifa ya pato halisi la taifa. Thamani hiyo ndiyo inayohesabu tofauti za uwezo wa ununuzi unaosababishwa na gharama za maisha. Pato halisi la taifa hupatwa kwa kukokotoa kima cha uwezo sawa wa ununuzi.[3]
Marejeo
Makala hii kuhusu mambo ya uchumi bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Pato la taifa kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz