Saint Martin
Saint Martin (jina rasmi la Kifaransa ni Collectivité de Saint-Martin) ni eneo la ng'ambo la Ufaransa linalopatikana kaskazini mwa kisiwa chenye jina hilo, ambacho thuluthi ya kusini ni mwanachama wa Ufalme wa Nchi za Chini, mbali ya visiwa vingine vidogo.
Ukubwa wa eneo ni kilometa mraba 53.2.
Makao makuu yako Marigot.
Idadi ya wakazi ni 35,107 (mnamo Januari 2014).
Kabla ya mwaka 2007 ilikuwa chini ya Guadeloupe.[1][2]
Mkataba wa Lisbon unaweka wazi kuwa Saint-Martin ni sehemu ya Umoja wa Ulaya.[3]
Wakazi wanaongea hasa Kiingereza na Krioli yake, mbali ya Kifaransa ambacho ndicho lugha rasmi.
Tanbihi
Viungo vya nje
- (Kifaransa) Official website of the Collectivity of Saint Martin Archived 9 Juni 2012 at the Wayback Machine.
- Official website of the Tourist Office of Saint Martin
- Wikimedia Atlas of Saint Martin (France)
- Saint Martin entry at The World Factbook
Makala hii kuhusu maeneo ya Bahari ya Karibi bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Saint Martin kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz