Kitunguu
Kitunguu (Allium cepa) | ||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Vitunguu vyekundu | ||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||
|
Kitunguu (Allium cepa) ni aina ya tunguu la kulika ambalo hupandwa kila mahali pa dunia. Spishi A. cepa haitokei porini. Spishi za pori yenye nasaba ya karibu sana ni A. vavilovii na A. asarense.
Aina yenye rangi ya zambarau huitwa kitunguu maji. Aina hiyo hufikiriwa kutibu maradhi arobaini, ambayo miongoni mwao ni joto la mwili kwa ujumla na mbegu za uzazi zilizokuwa za moto.
Picha
- Maua
- Shamba la vitunguu
- Vitunguu
- Kitunguu kilichokatika juu chini
- Kitunguu kilichokatika kutoka upande mmoja hadi mwingine
Makala hii kuhusu mmea fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Kitunguu kama uainishaji wake wa kibiolojia, uenezi au matumizi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz