Luiz Inácio Lula da Silva

Luiz Inácio Lula da Silva, (amezaliwa 27 Oktoba 1945) ni mwanasiasa na afisa mstaafu wa jeshi ambaye ni rais wa 39 wa Brazil.

Lula (2023)

Lula alichaguliwa kuwa rais wa Brazil kwa mara ya kwanza mnamo 2003 na kisha 2006, halafu mara ya tatu mwaka 2022 dhidi ya Jair Bolsonaro.

Alichaguliwa mnamo 2022 kama mshiriki wa Chama cha Huru ya Jamii ya kihafidhina kabla ya kukata mahusiano nao, amekuwa ofisini tangu 1 Januari 2023.

Lula (2007)