Mchemraba
Mchemraba ni gimba lenye pande sita mraba. Ni aina ya pekee ya mchestatili.
Mjao
Eneo la uso
Mchemraba huwa na pande sita sawa. Hivyo eneo la uso wake ni eneo la upande moja mara 6.
- Mfano: Mchemraba una urefu wa sentimita mbili. Hivyo kila upande una 2x2 = 4 sm2 mara 6 = 24 sm 2.
Viungo vya Nje
- Cube: Interactive Polyhedron Model Archived 9 Oktoba 2007 at the Wayback Machine.*
- Volume of a cube, with interactive animation
- Cube (Robert Webb's site)
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz