Mgawanyiko
Katika hisabati, mgawanyiko (kwa Kiingereza: division) ni moja ya uendeshaji wa hesabu nne (pamoja na jumla, utoaji na dharuba). Mgawanyiko ni kinyume cha dharuba. Alama ya mgawanyiko ni "/" au ""
Kwa usahihi, mgawanyiko ni mchakato wa kuhesabu idadi ya mara ambazo namba fulani inapatikana ndani ya namba nyingine. Kwa mfano, 20/4 = 5 kwa sababu tunaweza kuweka namba "4" mara tano ndani ya namba "20".
Marejeo
- Kinyondo, A. R. Mazoezi ya hisabati kwa kadi. Dar es Salaam University Press.
Makala hii kuhusu mambo ya hisabati bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mgawanyiko kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz