Mlinganyo tenguo

Mlinganyo tenguo ni aina ya mlinganyo ambayo yanalinganishwa mabadiliko mawili yanayotokea kwa wakati mmoja. Lengo ni kuona jinsi badiliko moja linavyosababisha au kuathiri badiliko la pili.

Milinganyo ya namna hiyo ilitegemea Historia ya kalkulasi kwa juhudi za Isaac Newton[1] na Gottfried Leibniz.

Isaac Newton aliorodhesha aina tatu:

Programu tete

  • ExpressionsinBar
  • Maple[2]: dsolve
  • SageMath[3]
  • Xcas[4]: desolve(y'=k*y,y)

Tanbihi

Viungo vya nje

Wikiquote ina mkusanyiko wa dondoo kuhusu:
Makala hii kuhusu mambo ya hisabati bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mlinganyo tenguo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.