Rubidi


Rubidi (Kilat. rubidus: nyekundu) ni elementi na metali alikali yenye namba atomia 37 kwenye mfumo radidia na uzani atomia 85.4678. Alama yake ni Rb.

Rubidi
(Rubidium)
Rubidi ndani ya tubu katika angahewa ya arigoni
Rubidi ndani ya tubu katika angahewa ya arigoni
Jina la ElementiRubidi
(Rubidium)
AlamaRb
Namba atomia37
Mfululizo safuMetali alikali
Uzani atomia 85.4678
Valensi2, 8, 18, 8, 1
Densiti1.532
Ugumu (Mohs){{{ugumu}}}
Kiwango cha kuyeyuka312.46 K (39.31 °C)
Kiwango cha kuchemka961 K (688 °C)
Asilimia za ganda la dunia0.3 %
Hali maada mango

Tabia

Kali (potasiamu) ni metali laini sana inayochemka kwa sentigredi 39 tayari. Rangi yake ni nyeupe-fedha. Haipatikana kiasili kama metali tupu kwa sababu humenyuka haraka na kuoksidika hewani. Inamenyuka vikali sana na oksijeni na kuwaka peke yake ikiwekwa hewani tu.

Rubidi hutokea kwa umbo la isotopi mbili; 85Rb ni thabiti lakini 87Rb ni mnururifu na kugeuka kuwa 87Sr. Lakini nusumaisha yake ni miaka bilioni 48 hivyo unururifu ni mdogo.

Matumizi

Kutokana na uhaba wa metali kuina matumizi chache tu hasa katika utafiti wa kisayansi.

Makala hii kuhusu mambo ya kemia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Rubidi kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.