1941
mwaka
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |Karne ya 19 |Karne ya 20| Karne ya 21
◄ |Miaka ya 1910 |Miaka ya 1920 |Miaka ya 1930 |Miaka ya 1940| Miaka ya 1950| Miaka ya 1960| Miaka ya 1970| ►
◄◄ |◄ |1937 |1938 |1939 |1940 |1941| 1942| 1943| 1944| 1945| ►| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1941 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
Waliozaliwa
Kalenda ya Gregori | 2024 MMXXIV |
Kalenda ya Kiyahudi | 5784 – 5785 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2777 |
Kalenda ya Ethiopia | 2016 – 2017 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1473 ԹՎ ՌՆՀԳ |
Kalenda ya Kiislamu | 1446 – 1447 |
Kalenda ya Kiajemi | 1402 – 1403 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2079 – 2080 |
- Shaka Samvat | 1946 – 1947 |
- Kali Yuga | 5125 – 5126 |
Kalenda ya Kichina | 4720 – 4721 癸卯 – 甲辰 |
- 1 Januari - Martin Evans, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 2007
- 1 Januari - Evaristo Marc Chengula, askofu wa Jimbo Katoliki la Mbeya, Tanzania
- 7 Januari - John Walker, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1997
- 9 Januari - Joan Baez, mwanamuziki kutoka Marekani
- 15 Januari - Captain Beefheart, mwanamuziki kutoka Marekani
- 24 Januari - Dan Shechtman, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 2011
- 28 Januari - King Tubby, mwanamuziki kutoka Jamaika
- 30 Januari - Dick Cheney, Kaimu Rais wa Marekani
- 8 Februari - Nick Nolte, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 1 Machi - Robert Hass, mshairi kutoka Marekani
- 27 Machi - Ivan Gašparovič, Rais wa Slovakia (2004-2014)
- 29 Machi - Joseph Taylor, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia, mwaka wa 1993
- 13 Aprili - Michael Brown, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1985
- 28 Aprili - Barry Sharpless, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 2001
- 29 Aprili - Yusef Komunyakaa, mshairi kutoka Marekani
- 24 Mei - Bob Dylan, mwanamuziki wa Marekani
- 31 Mei - Louis Ignarro, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1998
- 12 Juni - Chick Corea, mwanamuziki kutoka Marekani
- 26 Juni - Omar Ali Juma, mwanasiasa kutoka Zanzibar
- 30 Juni - Otto Sander, mwigizaji wa filamu kutoka Ujerumani
- 1 Julai - Alfred Gilman, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1994
- 2 Agosti - Jules Hoffmann, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 2011
- 17 Agosti - Ibrahim Babangida, Rais wa Nigeria (1985-1993)
- 20 Agosti - Slobodan Milosevic, Rais wa Serbia (1989-2000)
- 8 Septemba - Bernie Sanders, mwanasiasa kutoka Marekani
- 4 Oktoba - Anne Rice, mwandishi wa kike kutoka Marekani
- 13 Oktoba - Paul Simon, mwanamuziki
- 25 Oktoba - Anne Tyler, mwandishi kutoka Marekani
- 23 Novemba - Franco Nero, mwigizaji filamu kutoka Italia
- 19 Desemba - Lee Myung-Bak, Rais wa Korea Kusini (tangu 2008)
Waliofariki
- 4 Januari - Henri Bergson, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1927
- 13 Januari - James Joyce, mwandishi kutoka Ueire
- 21 Februari - Frederick Banting, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1923
- 5 Machi - Ludwig Quidde, mwanasiasa Mjerumani, na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani, mwaka wa 1927
- 7 Agosti - Rabindranath Tagore, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1913
- 14 Agosti - Maximilian Kolbe, padre mtakatifu kutoka Poland
- 14 Agosti - Paul Sabatier, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1912
- 12 Septemba - Hans Spemann, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1935
- 18 Novemba - Walther Nernst, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1920
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz