1967
mwaka
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |Karne ya 19 |Karne ya 20| Karne ya 21
◄ |Miaka ya 1930 |Miaka ya 1940 |Miaka ya 1950 |Miaka ya 1960| Miaka ya 1970| Miaka ya 1980| Miaka ya 1990| ►
◄◄ |◄ |1963 |1964 |1965 |1966 |1967| 1968| 1969| 1970| 1971| ►| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1967 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
- 30 Mei - Emeka Ojukwu anatangazwa kuwa rais wa Biafra.
- Uganda: Rais Milton Obote anawaondoa madarakani watawala wa kijadi akiwemo Kabaka ya Buganda
- 3 Desemba - Cape Town: daktari Christiaan Barnard anafaulu kuhamisha moyo wa mtu kwa mtu mwingine mara ya kwanza katika dunia.
Waliozaliwa
Kalenda ya Gregori | 2024 MMXXIV |
Kalenda ya Kiyahudi | 5784 – 5785 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2777 |
Kalenda ya Ethiopia | 2016 – 2017 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1473 ԹՎ ՌՆՀԳ |
Kalenda ya Kiislamu | 1446 – 1447 |
Kalenda ya Kiajemi | 1402 – 1403 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2079 – 2080 |
- Shaka Samvat | 1946 – 1947 |
- Kali Yuga | 5125 – 5126 |
Kalenda ya Kichina | 4720 – 4721 癸卯 – 甲辰 |
- 2 Januari - Tia Carrere, mwigizaji filamu kutoka Hawaii (Marekani)
- 8 Januari - R. Kelly, mwanamuziki kutoka Marekani
- 23 Januari - Naim Süleymanoğlu, mwanariadha kutoka Uturuki
- 10 Februari - Laura Dern
- 7 Mei - Fuya Godwin Kimbita, mwanasiasa wa Tanzania
- 19 Juni - Mia Sara
- 20 Juni - Nicole Kidman
- 23 Juni - Jenista Joakim Mhagama, mwanasiasa wa Tanzania
- 11 Julai - Jhumpa Lahiri, mwandishi kutoka Marekani
- 12 Julai - Adam Johnson, mwandishi kutoka Marekani
- 18 Julai - Vin Diesel - mwigizaji na mwongozaji wa filamu kutoka Marekani
- 19 Julai - Yael Abecassis, mwigizaji wa filamu kutoka Israel
- 27 Julai - Rahul Bose, mwigizaji wa filamu kutoka Uhindi
- 5 Agosti - Kazunori Yamauchi, muundaji wa michezo ya video kutoka Japani
- 13 Agosti - Amélie Nothomb, mwandishi kutoka Ubelgiji
- 21 Agosti - Carrie Anne Moss, mwigizaji wa filamu na mwanamitindo kutoka Kanada
- 19 Septemba - Alexander Karelin, mwanariadha kutoka Urusi
- 27 Septemba - Debi Derryberry, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 10 Oktoba - Gavin Newsom
- 22 Oktoba - Carlos Mencia, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 28 Oktoba - Julia Roberts
- 11 Desemba - DJ Yella, mwanamuziki wa Marekani
bila tarehe
- Paul Harding, mwandishi kutoka Marekani
Waliofariki
- 5 Februari - Violeta Parra, mwimbaji na mwanasiasa wa Chile (alijiua)
- 27 Machi - Jaroslav Heyrovsky, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1959
- 5 Aprili - Hermann Muller, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1946
- 8 Mei - Elmer Rice, mwandishi kutoka Marekani
- 31 Mei - Billy Strayhorn, mwanamuziki wa Marekani
- 17 Julai - John Coltrane, mwanamuziki kutoka Marekani
- 21 Julai - Albert Lutuli, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani, mwaka wa 1960
- 22 Julai – Carl Sandburg, mwandishi wa Marekani (na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer mwaka wa 1940
- 1 Agosti - Richard Kuhn, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1938
- 18 Septemba - John Douglas Cockcroft, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1951
- 7 Oktoba - Norman Angell, mwandishi wa habari Mwingereza (na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani mwaka wa 1933
- 9 Oktoba - Cyril Hinshelwood, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1956
- 9 Oktoba - Che Guevara, mwanamapinduzi kutoka Argentina
- 25 Oktoba - Margaret Ayer Barnes, mwandishi kutoka Marekani
- 7 Novemba - John Garner, Kaimu Rais wa Marekani
- 27 Desemba - Martin Flavin, mwandishi kutoka Marekani
Viungo vya nje
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz