1948
mwaka
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |Karne ya 19 |Karne ya 20| Karne ya 21
◄ |Miaka ya 1910 |Miaka ya 1920 |Miaka ya 1930 |Miaka ya 1940| Miaka ya 1950| Miaka ya 1960| Miaka ya 1970| ►
◄◄ |◄ |1944 |1945 |1946 |1947 |1948| 1949| 1950| 1951| 1952| ►| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1948 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
- 30 Januari - Mahatma Gandhi anauawa na Mhindu mkali anayechukia jitihada za Ghandi za kutunza umoja wa Uhindi na haki kwa ajili ya Waislamu Wahindi.
Waliozaliwa
Kalenda ya Gregori | 2024 MMXXIV |
Kalenda ya Kiyahudi | 5784 – 5785 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2777 |
Kalenda ya Ethiopia | 2016 – 2017 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1473 ԹՎ ՌՆՀԳ |
Kalenda ya Kiislamu | 1446 – 1447 |
Kalenda ya Kiajemi | 1402 – 1403 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2079 – 2080 |
- Shaka Samvat | 1946 – 1947 |
- Kali Yuga | 5125 – 5126 |
Kalenda ya Kichina | 4720 – 4721 癸卯 – 甲辰 |
- 7 Januari - Ichiro Mizuki, mwanamuziki kutoka Japani
- 14 Januari - Carl Weathers, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 15 Februari - Tino Insana, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 28 Februari - Steven Chu, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1997 na Waziri wa Nishati wa Marekani (tangu 2009)
- 11 Machi - Franz Lambert, mwanamuziki wa Ujerumani
- 20 Machi - John de Lancie, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 30 Machi - Method Kilaini, askofu Mkatoliki nchini Tanzania
- 31 Machi - Al Gore, Kaimu Rais wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani (2007)
- 1 Aprili - Jimmy Cliff, mwanamuziki kutoka Jamaika
- 15 Mei - Brian Eno, mwanamuziki wa Uingereza
- 31 Mei - Svetlana Alexievich, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 2015
- 12 Julai - Richard Simmons, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 18 Julai - Hartmut Michel, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1988
- 3 Septemba - Levy Mwanawasa, Rais wa tatu wa Zambia (2001-2008)
- 29 Septemba - Theo Jörgensmann, mwanamuziki kutoka Ujerumani
- 10 Oktoba - Benedict Kiroya Losurutia, mwanasiasa wa Tanzania
- 24 Oktoba - Mike Laizer, mwanasiasa wa Tanzania
- 25 Oktoba - Agapiti Ndorobo, askofu Mkatoliki nchini Tanzania
- 28 Oktoba - Telma Hopkins, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 1 Novemba - Amani Abeid Karume, Rais wa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar tangu mwaka wa 2000
- 5 Novemba - William Phillips, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1997
- 11 Novemba - Vincent Schiavelli, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 26 Novemba - Elizabeth Blackburn, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 2009
- 28 Novemba - Mgana Izumbe Msindai, mwanasiasa kutoka Tanzania
- 15 Desemba - Cassandra Harris, mwigizaji filamu kutoka Australia
- 30 Desemba - Randy Schekman, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 2013
bila tarehe
- Penina Muhando, mwandishi Mtanzania
Waliofariki
- 30 Januari - Mahatma Gandhi, mwanasheria, mwanafalsafa na kiongozi wa kisiasa nchini Uhindi
- 15 Julai - John J. Pershing, jenerali kutoka Marekani
- 27 Julai – Susan Glaspell, mwandishi wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1931
- 24 Oktoba - Frederic L. Paxson, mwanahistoria kutoka Marekani
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz