1969
mwaka
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |Karne ya 19 |Karne ya 20| Karne ya 21
◄ |Miaka ya 1930 |Miaka ya 1940 |Miaka ya 1950 |Miaka ya 1960| Miaka ya 1970| Miaka ya 1980| Miaka ya 1990| ►
◄◄ |◄ |1965 |1966 |1967 |1968 |1969| 1970| 1971| 1972| 1973| ►| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1969 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
- 20 Julai - Wanaanga Neil Armstrong na Buzz Aldrin ni watu wa kwanza kufika kwenye uso wa mwezi.
- 1 Septemba - Mapinduzi ya Libya; maafisa chini ya Muammar al-Gaddafi wanampindua mfalme Idris I na kutangaza jamhuri.
Waliozaliwa
Kalenda ya Gregori | 2024 MMXXIV |
Kalenda ya Kiyahudi | 5784 – 5785 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2777 |
Kalenda ya Ethiopia | 2016 – 2017 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1473 ԹՎ ՌՆՀԳ |
Kalenda ya Kiislamu | 1446 – 1447 |
Kalenda ya Kiajemi | 1402 – 1403 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2079 – 2080 |
- Shaka Samvat | 1946 – 1947 |
- Kali Yuga | 5125 – 5126 |
Kalenda ya Kichina | 4720 – 4721 癸卯 – 甲辰 |
- 14 Januari - Jason Bateman, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 15 Februari - Birdman, mwanamuziki kutoka Marekani
- 31 Machi - Nyamko Sabuni, mwanasiasa wa kike wa Uswidi
- 11 Juni - Peter Dinklage, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 13 Juni - Joseph Keter, mwanariadha kutoka Kenya
- 15 Juni - Ice Cube (au O'Shea Jackson), mwimbaji na mwigizaji filamu kutoka Marekani
- 5 Julai - RZA, mwanamuziki kutoka Marekani
- 24 Julai - Jennifer Lopez, mwimbaji kutoka Marekani
- 8 Agosti - Masta Killa, mwanamuziki kutoka Marekani
- 19 Agosti - Nate Dogg, mwanamuziki kutoka Marekani
- 28 Agosti - Jack Black, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 18 Septemba - Cappadonna, mwanamuziki kutoka Marekani
- 1 Oktoba - Marcus Stephen, Rais wa Nauru (tangu 2007)
- 10 Oktoba - Loren Bouchard, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 4 Novemba - Sean Combs, mwanamuziki kutoka Marekani
- 13 Novemba - Gerard Butler, mwigizaji filamu kutoka Uskoti
- 4 Desemba - Jay-Z, mwanamuziki kutoka Marekani
Waliofariki
- 30 Januari - Padre Dominique Pire, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani mwaka wa 1958
- 23 Machi - Bernadotte Everly Schmitt, mwanahistoria kutoka Marekani
- 26 Machi - John Kennedy Toole, mwandishi kutoka Marekani
- 28 Machi - Dwight D. Eisenhower, Rais wa Marekani (1953-1961)
- 19 Mei - Coleman Hawkins, mwanamuziki kutoka Marekani
- 5 Julai - Tom Mboya, mwanasiasa wa Kenya, aliuawa
- 28 Julai - Frank Loesser, mtunzi kutoka Marekani
- 9 Agosti - Cecil Frank Powell, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1950
- 17 Agosti - Otto Stern, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1943
Viungo vya nje
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz