1964
mwaka
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |Karne ya 19 |Karne ya 20| Karne ya 21
◄ |Miaka ya 1930 |Miaka ya 1940 |Miaka ya 1950 |Miaka ya 1960| Miaka ya 1970| Miaka ya 1980| Miaka ya 1990| ►
◄◄ |◄ |1960 |1961 |1962 |1963 |1964| 1965| 1966| 1967| 1968| ►| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1964 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
Waliozaliwa
Kalenda ya Gregori | 2024 MMXXIV |
Kalenda ya Kiyahudi | 5784 – 5785 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2777 |
Kalenda ya Ethiopia | 2016 – 2017 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1473 ԹՎ ՌՆՀԳ |
Kalenda ya Kiislamu | 1446 – 1447 |
Kalenda ya Kiajemi | 1402 – 1403 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2079 – 2080 |
- Shaka Samvat | 1946 – 1947 |
- Kali Yuga | 5125 – 5126 |
Kalenda ya Kichina | 4720 – 4721 癸卯 – 甲辰 |
- 17 Januari - Michelle Obama, Mwanamke wa Kwanza wa Marekani tangu 2009
- 30 Machi - Tracy Chapman, mwanamuziki kutoka Marekani
- 6 Aprili - David Woodard, mwandishi na mwanamuziki kutoka Marekani
- 24 Aprili - Djimon Hounsou, mwigizaji filamu kutoka Benin
- 27 Mei - Adam Carolla, mwigizaji filamu kutoka Marekani
- 11 Juni - Jean Garcia, muigizaji wa tamthiliya
- 1 Julai - Guillermo Martín Abanto Guzmán, askofu msaidizi wa Kanisa Katoliki nchini Peru
- 22 Julai - David Spade, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 26 Julai - Sandra Bullock, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 3 Agosti - Lucky Dube, mwanamuziki wa Afrika Kusini
- 8 Agosti - Klaus Ebner, mwandishi wa Kijerumani kutoka Austria
- 18 Agosti - Jim Florentine, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 2 Septemba - Keanu Reeves, mwigizaji filamu kutoka Kanada
- 7 Septemba - Eazy-E, mwanamuziki kutoka Marekani
- 16 Septemba - Molly Shannon, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 30 Septemba - Monica Bellucci, mwigizaji filamu kutoka Italia
- 10 Oktoba - Quinton Flynn, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 20 Oktoba - Yvette Nipar, mwigizaji filamu kutoka Marekani
- 7 Novemba - Corrado Sanguineti, askofu Mkatoliki nchini Italia
- 14 Novemba - Patrick Warburton, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
Waliofariki
- 9 Machi - Paul von Lettow-Vorbeck, mwanajeshi wa Dola la Ujerumani, hasa nchini Tanzania
- 24 Aprili - Gerhard Domagk, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1939
- 21 Mei - James Franck, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia, mwaka wa 1925
- 3 Juni - Frans Eemil Sillanpää, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1939
- 20 Oktoba - Herbert Hoover, Rais wa Marekani (1929-1933)
- 7 Novemba - Hans von Euler-Chelpin, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 1929
- 17 Desemba - Victor Hess, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1936
Viungo vya nje
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz