Domofupi

Ndege wadogo wa familia Paridae
Domofupi
Domofupi tumbo-jeupe
Domofupi tumbo-jeupe
Uainishaji wa kisayansi
Himaya:Animalia (Wanyama)
Faila:Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Nusufaila:Vertebrata (Wanyama wenye uti wa mgongo)
Ngeli:Aves (Ndege)
Oda:Passeriformes (Ndege kama shomoro)
Familia ya juu:Sylvioidea (Ndege kama kucha)
Familia:Paridae (Ndege walio na mnasaba na domofupi)
Ngazi za chini

Jenasi 14:

  • Baeolophus Cabanis, 1850
  • Cephalopyrus Bonaparte, 1854
  • Cyanistes Kaup, 1829
  • Lophophanes Kaup, 1829
  • Machlolophus Cabanis, 1850
  • Melaniparus Bonaparte, 1850
  • Melanochlora Lesson, 1839
  • Pardaliparus De Sélys Longchamps, 1884
  • Parus Linnaeus, 1758
  • Periparus De Sélys Longchamps, 1884
  • Poecile Kaup, 1829
  • Pseudopodoces Zarudny & Loudon, 1902
  • Sittiparus De Sélys Longchamps, 1884
  • Sylviparus Burton, 1836

Domofupi ni ndege wa familia Paridae. Hawa ni ndege wadogo wenye domo fupi na mkia mfupi; spishi kadhaa zina kishungi. Rangi zao si kali sana: kwa kawaida nyeusi, nyeupe, kijivu na/au kahawia, pengine buluu, njano na nyekundu. Wanatokea Afrika, Asia, Ulaya na Amerika ya Kaskazini katika maeneo yenye miti. Hula wadudu na pia mbegu na makokwa. Hulijenga tago lao ndani ya tundu mtini. Jike huyataga mayai 3-19 yenye madoa.

Spishi za Afrika

Spishi za mabara mengine

Picha