Kiurdu
Kiurdu (pia hujulikana kama Lashkari imeandikwa لشکری[1]) ni aina ya lugha ya Kihindi iliyosanifiwa.
Ndiyo lugha rasmi ya Pakistan na ya majimbo 6 ya India (katika nchi hiyo ni mojawapo kati ya 22 zinazokubaliwa na katiba).
Kwa kawaida kinaandikwa kwa herufi za Kiarabu kutokana na uhusiano wake na dini ya Uislamu.
Wanaokitumia kama lugha mama ni watu milioni 65.
Tanbihi
Marejeo
Viungo vya nje
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
- Directory of Urdu websites Archived 5 Januari 2015 at the Wayback Machine..
- History of Urdu Archived 5 Aprili 2020 at the Wayback Machine. (Urdu site)
- lugha ya Kiurdu kwenye Multitree
- makala za OLAC kuhusu Kiurdu
- lugha ya Kiurdu katika Glottolog
Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Kiurdu kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz