Ursula Ledochowska
Ursula Ledochowska (jina la kitawa: Ursula wa Yesu; Loosdorf, Melk, Austria ya Chini, 17 Aprili 1865 – Roma, Italia, 29 Mei 1939) alikuwa mtawa wa Polandi, mwanzilishi wa shirika la Waursula wa Moyo Mteseka wa Yesu[1][2][3].
Kwa ajili hiyo alisafiri kwa shida sana katika nchi za Polandi, Skandinavia, Ufini na Urusi.
Papa Yohane Paulo II alimtangaza mwenye heri tarehe 20 Juni 1983, akamtangaza mtakatifu tarehe 18 Mei 2003[4].
Sikukuu yake huadhimishwa kila mwaka kwenye tarehe ya kifo chake[5].
Shirika lake lilipata kibali cha Papa tarehe 4 Juni 1923. Kufikia mwaka 2005 lilikuwa na masista 832 katika nyumba 98 zikiwemo zile za Tanzania.
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
- Hagiography Circle
- Saints SQPN
- Holy See
- Faith ND
- Suore Orsoline S.C.G.A.
- Healing Grace
- The Sanctuary of Saint Ursula Ledóchowska
- Geni
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz