1918
mwaka
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |Karne ya 19 |Karne ya 20| Karne ya 21
◄ |Miaka ya 1880 |Miaka ya 1890 |Miaka ya 1900 |Miaka ya 1910| Miaka ya 1920| Miaka ya 1930| Miaka ya 1940| ►
◄◄ |◄ |1914 |1915 |1916 |1917 |1918| 1919| 1920| 1921| 1922| ►| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1918 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
- 28 Mei - Nchi ya Armenia inatangazwa kuwa jamhuri.
- 9 Novemba - Mfalme Mkuu Wilhelm II wa Ujerumani anajiuzulu, na Ujerumani unatangazwa kuwa jamhuri.
Novemba: Mwisho wa Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia
Waliozaliwa
Kalenda ya Gregori | 2024 MMXXIV |
Kalenda ya Kiyahudi | 5784 – 5785 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2777 |
Kalenda ya Ethiopia | 2016 – 2017 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1473 ԹՎ ՌՆՀԳ |
Kalenda ya Kiislamu | 1446 – 1447 |
Kalenda ya Kiajemi | 1402 – 1403 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2079 – 2080 |
- Shaka Samvat | 1946 – 1947 |
- Kali Yuga | 5125 – 5126 |
Kalenda ya Kichina | 4720 – 4721 癸卯 – 甲辰 |
- 23 Januari - Gertrude Elion, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1988
- 12 Februari - Julian Schwinger, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1965
- 3 Machi - Arthur Kornberg, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba wa mw. 1959
- 16 Machi - Frederick Reines, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1995
- 9 Aprili - Jørn Utzon, msanifu majengo kutoka Denmark
- 20 Aprili - Kai Siegbahn, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1981
- 25 Aprili - Muhammed Said Abdulla, mwandishi wa Tanzania
- 11 Mei - Richard Feynman, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1965
- 20 Mei - Edward Lewis, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1995
- 23 Mei – Jackson Bate, mwandishi wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1964
- 6 Juni - Edwin Krebs, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1992
- 18 Juni - Jerome Karle, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1985
- 14 Julai - Ingmar Bergman, mwongozaji wa filamu kutoka Uswidi
- 15 Julai - Bertram Brockhouse, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1994
- 18 Julai - Nelson Mandela (rais mstaafu wa Afrika Kusini, na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani, mwaka wa 1993
- 29 Julai - Edwin O'Connor, mwandishi kutoka Marekani
- 31 Julai - Paul Boyer, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1997
- 13 Agosti - Frederick Sanger, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1958
- 2 Septemba - Allen Drury, mwandishi Mmarekani, na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1959
- 8 Septemba - Derek Barton, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1969
- 27 Septemba - Martin Ryle, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1974
- 4 Oktoba - Kenichi Fukui, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1981
- 8 Oktoba - Jens Skou, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1997
- 16 Oktoba - Louis Althusser, mwanafalsafa wa Ufaransa
- 9 Novemba - Spiro Agnew, Kaimu Rais wa Marekani
- 10 Novemba - Ernst Otto Fischer, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1973
- 11 Desemba - Aleksandr Solzhenitsyn, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1970
- 23 Desemba - Helmut Schmidt, Waziri Mkuu wa Ujerumani (1974-82)
- 25 Desemba - Anwar Sadat, rais wa Misri, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani mwaka 1971
Waliofariki
- 8 Februari - Louis Renault, mwanasheria Mfaransa, na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani, mwaka wa 1907
- 10 Februari - Ernesto Teodoro Moneta, mwandishi Mwitalia, na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani mwaka wa 1907
- 26 Machi - César Cui, mtunzi wa opera kutoka Urusi
- 4 Juni - Charles Fairbanks, Kaimu Rais wa Marekani
- 10 Septemba - Karl Peters aliyeanzisha Afrika ya Mashariki ya Kijerumani
- 20 Novemba - John Bauer, mchoraji kutoka Uswidi
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz