Wayazidi
Wayazidi ni kabila la watu wanaoishi hasa katika eneo la Kurdistan[1][2][3] na kwa namna ya pekee katika sehemu yake nchini Iraq[4][5], lakini wengine wengi wamekimbilia Ujerumani[6][7] na nchi nyingine.
Wanakadiriwa kuwa milioni moja au moja unusu.
Wanafuata dini yao maalumu ambayo inamuabudu Mungu mmoja tu. Kwa ajili yake wamedhulumiwa sana na Waislamu waliotawala eneo lao, kwanza Waarabu, halafu Waturuki.
Tanbihi
Marejeo
Viungo vya nje
- Les Ezidis de France Archived 26 Machi 2020 at the Wayback Machine.
- Yazda – A Global Yazidi Organization
- The Beginning of the Universe Archived 22 Desemba 2007 at the Wayback Machine., photos and a description of Yezidi life in Lalish, Iraq, by Michael J. Totten (22 February 2006).
- Rubin, Alissa J.. "Persecuted Sect in Iraq Avoids Its Shrine", The New York Times, 14 October 2007.
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz