18 Agosti

tarehe
Jul - Agosti - Sep
1234567
891011121314
15161718192021
22232425262728
293031
Kalenda ya Gregori

Tarehe 18 Agosti ni siku ya 230 ya mwaka (ya 231 katika miaka mirefu). Mpaka uishe zinabaki siku 135.

Matukio

Waliozaliwa

Waliofariki

Sikukuu

Wakristo wengi, wakifuata mapokeo ya Roma, huadhimisha kumbukumbu za watakatifu Agapiti wa Palestrina, Wafiadini wa Utica, Leo wa Mira, Helena, Firmini wa Metz, Makari wa Pelekete, Alberto Hurtado n.k.

Viungo vya nje

WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu 18 Agosti kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.