1957
mwaka
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |Karne ya 19 |Karne ya 20| Karne ya 21
◄ |Miaka ya 1920 |Miaka ya 1930 |Miaka ya 1940 |Miaka ya 1950| Miaka ya 1960| Miaka ya 1970| Miaka ya 1980| ►
◄◄ |◄ |1953 |1954 |1955 |1956 |1957| 1958| 1959| 1960| 1961| ►| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1957 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
Waliozaliwa
Kalenda ya Gregori | 2024 MMXXIV |
Kalenda ya Kiyahudi | 5784 – 5785 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2777 |
Kalenda ya Ethiopia | 2016 – 2017 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1473 ԹՎ ՌՆՀԳ |
Kalenda ya Kiislamu | 1446 – 1447 |
Kalenda ya Kiajemi | 1402 – 1403 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2079 – 2080 |
- Shaka Samvat | 1946 – 1947 |
- Kali Yuga | 5125 – 5126 |
Kalenda ya Kichina | 4720 – 4721 癸卯 – 甲辰 |
- 13 Januari - Claudia Emerson, mshairi kutoka Marekani
- 3 Machi - William Pascal Kikoti, askofu wa Kanisa Katoliki nchini Tanzania
- 10 Machi - Osama bin Laden, mwanzilishi na kiongozi wa kundi la kigaidi la Al Qaida
- 20 Machi - Chris Wedge, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 9 Mei - Beatus Kinyaiya, askofu Mkatoliki nchini Tanzania
- 23 Mei - Esterina Julio Kilasi, mbunge wa kike wa Tanzania
- 1 Juni - Yasuhiro Yamashita, mshindani wa Judo kutoka Japani
- 6 Agosti - John Hocking, Katibu Mkuu Msaidizi wa Umoja wa Mataifa kutoka Australia
- 14 Septemba - François Asselineau, mwanasiasa kutoka Ufaransa
- 28 Oktoba - Roza Rymbayeva, mwanamuziki kutoka Kazakhstan
- 6 Novemba - Cam Clarke, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 9 Desemba - Jacob Venance Koda, askofu Mkatoliki nchini Tanzania
- 10 Desemba - Michael Clarke Duncan, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 11 Desemba - Antonio Napolioni, askofu Mkatoliki nchini Italia
- 29 Desemba - Bruce Beutler, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 2011
bila tarehe
- Jim Dauterive, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
Waliofariki
- 10 Januari - Gabriela Mistral, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1945
- 14 Januari - Humphrey Bogart, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 22 Januari – Ralph Barton Perry, mwandishi wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1936
- 8 Februari - Walther Bothe, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1954
- 18 Februari - Dedan Kimathi, kiongozi Mkenya wa Mau Mau; alinyongwa
- 28 Machi - Jack Butler Yeats, mchoraji kutoka Ireland
- 21 Juni - Johannes Stark, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1919
- 5 Agosti - Heinrich Otto Wieland, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1927
- 18 Agosti - Irving Langmuir, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1932
- 20 Septemba - Jean Sibelius, mtunzi wa muziki kutoka Ufini
Viungo vya nje
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz