1916
mwaka
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |Karne ya 19 |Karne ya 20| Karne ya 21
◄ |Miaka ya 1880 |Miaka ya 1890 |Miaka ya 1900 |Miaka ya 1910| Miaka ya 1920| Miaka ya 1930| Miaka ya 1940| ►
◄◄ |◄ |1912 |1913 |1914 |1915 |1916| 1917| 1918| 1919| 1920| ►| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1916 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
Waliozaliwa
Kalenda ya Gregori | 2024 MMXXIV |
Kalenda ya Kiyahudi | 5784 – 5785 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2777 |
Kalenda ya Ethiopia | 2016 – 2017 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1473 ԹՎ ՌՆՀԳ |
Kalenda ya Kiislamu | 1446 – 1447 |
Kalenda ya Kiajemi | 1402 – 1403 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2079 – 2080 |
- Shaka Samvat | 1946 – 1947 |
- Kali Yuga | 5125 – 5126 |
Kalenda ya Kichina | 4720 – 4721 癸卯 – 甲辰 |
- 7 Januari - Fernando Sancho, mwigizaji filamu kutoka Hispania
- 10 Januari - Sune Bergström, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1982
- 12 Januari - Pieter Willem Botha, Waziri Mkuu na Rais wa Afrika Kusini
- 26 Februari - Jackie Gleason, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 26 Machi - Christian Anfinsen, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1972
- 29 Aprili - Lars Korvald, mwanasiasa kutoka Norwei
- 11 Mei - Camilo Jose Cela, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1989
- 4 Juni - Robert Furchgott, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1998
- 8 Juni - Francis Crick, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1962
- 11 Julai - Aleksander Prokhorov, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1964
- 5 Agosti - Peter Viereck, mshairi kutoka Marekani
- 6 Agosti – Richard Hofstadter, mwandishi wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1956
- 18 Agosti - Don Keefer, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 25 Agosti - Frederick Robbins, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1954
- 4 Oktoba - Vitali Ginzburg, mwanafizikia kutoka Urusi, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 2003
- 19 Oktoba - Jean Dausset, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1980
- 15 Desemba - Maurice Wilkins, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1962
Waliofariki
- 6 Februari - Rubén Darío, mwandishi kutoka Nikaragua
- 20 Februari - Klas Pontus Arnoldson, mwanasiasa Msweden, na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani mwaka wa 1908
- 16 Julai - Ilya Mechnikov, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1908
- 23 Julai - William Ramsay, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1904
- 4 Septemba - José Echegaray y Eizaguirre, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1904
- 15 Novemba - Henryk Sienkiewicz, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1905
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz