1911
mwaka
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |Karne ya 19 |Karne ya 20| Karne ya 21
◄ |Miaka ya 1880 |Miaka ya 1890 |Miaka ya 1900 |Miaka ya 1910| Miaka ya 1920| Miaka ya 1930| Miaka ya 1940| ►
◄◄ |◄ |1907 |1908 |1909 |1910 |1911| 1912| 1913| 1914| 1915| ►| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1911 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
Waliozaliwa
Kalenda ya Gregori | 2024 MMXXIV |
Kalenda ya Kiyahudi | 5784 – 5785 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2777 |
Kalenda ya Ethiopia | 2016 – 2017 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1473 ԹՎ ՌՆՀԳ |
Kalenda ya Kiislamu | 1446 – 1447 |
Kalenda ya Kiajemi | 1402 – 1403 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2079 – 2080 |
- Shaka Samvat | 1946 – 1947 |
- Kali Yuga | 5125 – 5126 |
Kalenda ya Kichina | 4720 – 4721 癸卯 – 甲辰 |
- 1 Januari - Audrey Wurdemann, mshairi kutoka Marekani
- 3 Januari - John Sturges, mwongozaji filamu wa Marekani
- 26 Januari - Polykarp Kusch, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia, mwaka wa 1955
- 6 Februari - Ronald Reagan, Rais wa Marekani (1981-89)
- 8 Februari - Elizabeth Bishop, mshairi kutoka Marekani
- 26 Machi - Tennessee Williams, mwandishi kutoka Marekani
- 26 Machi - Bernard Katz, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1970
- 6 Aprili - Feodor Lynen, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1964
- 8 Aprili - Melvin Calvin, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1961
- 27 Mei - Hubert Humphrey, Kaimu Rais wa Marekani
- 13 Juni - Luis Alvarez, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1968
- 25 Juni - William Stein, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1972
- 30 Julai - Czeslaw Milosz, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1980
- 9 Agosti - William Fowler, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia, mwaka wa 1983
- 19 Septemba - William Golding, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1983
- 2 Novemba - Odysseas Elytis, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1979
- 11 Novemba - Antonio Casas, mwigizaji filamu kutoka Hispania
- 11 Desemba - Nagib Mahfuz, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1988
- 23 Desemba - Niels Jerne, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1984
Waliofariki
- 1 Machi - Jacobus Henricus van 't Hoff, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 1901
- 18 Mei - Gustav Mahler, mtunzi wa opera kutoka Austria
- 29 Oktoba - Joseph Pulitzer, mhariri wa magazeti Mmarekani, na mwanzishaji wa Tuzo ya Pulitzer
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz