1908
mwaka
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |Karne ya 19 |Karne ya 20| Karne ya 21
◄ |Miaka ya 1870 |Miaka ya 1880 |Miaka ya 1890 |Miaka ya 1900| Miaka ya 1910| Miaka ya 1920| Miaka ya 1930| ►
◄◄ |◄ |1904 |1905 |1906 |1907 |1908| 1909| 1910| 1911| 1912| ►| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1908 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
Waliozaliwa
Kalenda ya Gregori | 2024 MMXXIV |
Kalenda ya Kiyahudi | 5784 – 5785 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2777 |
Kalenda ya Ethiopia | 2016 – 2017 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1473 ԹՎ ՌՆՀԳ |
Kalenda ya Kiislamu | 1446 – 1447 |
Kalenda ya Kiajemi | 1402 – 1403 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2079 – 2080 |
- Shaka Samvat | 1946 – 1947 |
- Kali Yuga | 5125 – 5126 |
Kalenda ya Kichina | 4720 – 4721 癸卯 – 甲辰 |
- 22 Januari - Lev Landau, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1962
- 4 Aprili - Frances Ford Seymour, mke wa pili wa Henry Fonda
- 20 Aprili - Lionel Hampton, mwanamuziki kutoka Marekani
- 24 Aprili - George Oppen, mshairi kutoka Marekani
- 23 Mei - John Bardeen, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia miaka ya 1956 na 1972
- 25 Mei – Theodore Roethke, mwandishi wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1954
- 30 Mei - Hannes Alfven, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1970
- 8 Julai - Nelson Rockefeller, Kaimu Rais wa Marekani
- 6 Agosti - Will Lee, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 27 Agosti - Lyndon B. Johnson, Rais wa Marekani (1963-69)
- 31 Agosti - William Saroyan, mwandishi Mmarekani, na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1940, aliyoikataa
- 23 Oktoba - Ilya Frank, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1958
- 13 Novemba – Comer Vann Woodward, mwanahistoria wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1982
- 4 Desemba - Alfred Hershey, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1969
- 17 Desemba - Willard Libby, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1960
Waliofariki
- 21 Juni - Nikolai Rimsky-Korsakov, mtunzi wa muziki kutoka Urusi
- 24 Juni - Grover Cleveland, Rais wa Marekani (1885-1889; 1893-1897)
- 22 Julai - Randal Cremer, kiongozi Mwingereza wa chama cha wafanyakazi, na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani, mwaka wa 1903
- 25 Agosti - Antoine Henri Becquerel, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1903
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz