1955
mwaka
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |Karne ya 19 |Karne ya 20| Karne ya 21
◄ |Miaka ya 1920 |Miaka ya 1930 |Miaka ya 1940 |Miaka ya 1950| Miaka ya 1960| Miaka ya 1970| Miaka ya 1980| ►
◄◄ |◄ |1951 |1952 |1953 |1954 |1955| 1956| 1957| 1958| 1959| ►| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1955 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
Waliozaliwa
Kalenda ya Gregori | 2024 MMXXIV |
Kalenda ya Kiyahudi | 5784 – 5785 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2777 |
Kalenda ya Ethiopia | 2016 – 2017 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1473 ԹՎ ՌՆՀԳ |
Kalenda ya Kiislamu | 1446 – 1447 |
Kalenda ya Kiajemi | 1402 – 1403 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2079 – 2080 |
- Shaka Samvat | 1946 – 1947 |
- Kali Yuga | 5125 – 5126 |
Kalenda ya Kichina | 4720 – 4721 癸卯 – 甲辰 |
- 13 Februari - Castor Paul Msemwa, askofu Mkatoliki nchini Tanzania
- 24 Februari - Steve Jobs, mvumbuzi na mfanyabiashara kutoka Marekani
- 3 Machi - Marijani Rajab, mwanamuziki kutoka Tanzania
- 12 Machi - Gaspard Musabyimana, mwandishi wa Rwanda
- 19 Machi - Bruce Willis, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 13 Aprili - Ronald Muwenda Mutebi II, mfalme wa Buganda
- 17 Aprili - Kristine Sutherland, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 26 Aprili - Damian Dalu, askofu mkuu wa Jimbo Kuu la Songea, Tanzania
- 9 Mei - Meles Zenawi, Waziri Mkuu wa Ethiopia
- 18 Mei - Chow Yun Fat, mwigizaji filamu kutoka Uchina
- 27 Mei - Richard Schiff, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 30 Mei - Brian Kobilka, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 2012
- 31 Mei - Susie Essman, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 1 Juni - Chiyonofuji Mitsugu, mwanamweleka wa Japani
- 17 Julai - Aggrey Deaisile Joshua Mwanri, mwanasiasa wa Tanzania
- 20 Julai - Egidio Miragoli, askofu Mkatoliki nchini Italia
- 14 Septemba - Geraldine Brooks, mwandishi kutoka nchi za Australia na Marekani
- 10 Desemba - Harrison George Mwakyembe, mwanasiasa wa Tanzania
- 12 Desemba - Alfred Leonhard Maluma, askofu Mkatoliki nchini Tanzania
- 22 Desemba - Thomas Südhof, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 2013
bila tarehe
- Mzee Small, mwigizaji kutoka Tanzania
Waliofariki
- 20 Januari - Robert P. T. Coffin, mshairi kutoka Marekani
- 31 Januari - John Mott, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani mwaka wa 1946
- 3 Machi - Mtakatifu Katharine Drexel, mtawa wa kike kutoka Marekani
- 11 Machi - Alexander Fleming, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1945
- 12 Machi - Charlie Parker, mwanamuziki kutoka Marekani
- 18 Aprili - Albert Einstein, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1921
- 16 Mei - James Agee, mwandishi kutoka Marekani
- 23 Julai - Cordell Hull, mwanasiasa Mmarekani na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani, mwaka wa 1945
- 2 Agosti - Wallace Stevens, mshairi kutoka Marekani
- 12 Agosti - Thomas Mann, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 1929)
- 12 Agosti - James Sumner, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1946
- 13 Novemba – Bernard DeVoto, mwandishi wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer mwaka wa 1948
- 14 Novemba - Robert Sherwood, mwandishi Mmarekani
- 13 Desemba - Antonio Egas Moniz, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1949
Viungo vya nje
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz