1912
mwaka
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |Karne ya 19 |Karne ya 20| Karne ya 21
◄ |Miaka ya 1880 |Miaka ya 1890 |Miaka ya 1900 |Miaka ya 1910| Miaka ya 1920| Miaka ya 1930| Miaka ya 1940| ►
◄◄ |◄ |1908 |1909 |1910 |1911 |1912| 1913| 1914| 1915| 1916| ►| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1912 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
- 8 Januari - kuanzishwa kwa "South African Native National Congress" nchini Afrika Kusini ambayo ni chama kitangulizi cha ANC.
Waliozaliwa
Kalenda ya Gregori | 2024 MMXXIV |
Kalenda ya Kiyahudi | 5784 – 5785 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2777 |
Kalenda ya Ethiopia | 2016 – 2017 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1473 ԹՎ ՌՆՀԳ |
Kalenda ya Kiislamu | 1446 – 1447 |
Kalenda ya Kiajemi | 1402 – 1403 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2079 – 2080 |
- Shaka Samvat | 1946 – 1947 |
- Kali Yuga | 5125 – 5126 |
Kalenda ya Kichina | 4720 – 4721 癸卯 – 甲辰 |
- 21 Januari - Konrad Bloch, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1964
- 30 Januari - Horst Matthai Quelle, mwanafalsafa kutoka Ujerumani
- 12 Februari - Shaykh 'Abdullaah Swaalih Al-Farsy, mwanahistoria kutoka Zanzibar
- 19 Aprili - Glenn Seaborg, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1951
- 22 Mei - Herbert Brown, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1979
- 27 Mei – John Cheever, mwandishi wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1979
- 28 Mei - Patrick White, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1973
- 30 Mei - Julius Axelrod, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1970
- 12 Julai - Kardinali Laurean Rugambwa wa Dar es Salaam
- 13 Agosti - Salvador Luria, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1969
- 30 Agosti - Edward Purcell, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1952
- 24 Septemba - Robert Lewis Taylor, mwandishi kutoka Marekani
- 17 Oktoba - Papa Yohane Paulo I (kwa jina la Albino Luciani)
- 19 Novemba - George Palade, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1974
- 30 Novemba - Gordon Parks, msanii wa Marekani
bila tarehe
- Abdallah Rashid Sembe, mwanasiasa wa Tanzania
Waliofariki
- 20 Aprili - Bram Stoker, mwandishi kutoka Ireland
- 20 Mei - Mtakatifu Arkanjelo Tadini, padri
- 12 Juni - Frederic Passy, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani, mwaka wa 1901
- 30 Juni - Mutsuhito (Meiji), Mfalme Mkuu wa Japani
- 6 Oktoba - Auguste Beernaert, mwanasiasa Mbelgiji na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani, mwaka wa 1909
- 30 Oktoba - James Sherman, Kaimu Rais wa Marekani
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz