1915
mwaka
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |Karne ya 19 |Karne ya 20| Karne ya 21
◄ |Miaka ya 1880 |Miaka ya 1890 |Miaka ya 1900 |Miaka ya 1910| Miaka ya 1920| Miaka ya 1930| Miaka ya 1940| ►
◄◄ |◄ |1911 |1912 |1913 |1914 |1915| 1916| 1917| 1918| 1919| ►| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1915 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
Waliozaliwa
Kalenda ya Gregori | 2024 MMXXIV |
Kalenda ya Kiyahudi | 5784 – 5785 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2777 |
Kalenda ya Ethiopia | 2016 – 2017 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1473 ԹՎ ՌՆՀԳ |
Kalenda ya Kiislamu | 1446 – 1447 |
Kalenda ya Kiajemi | 1402 – 1403 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2079 – 2080 |
- Shaka Samvat | 1946 – 1947 |
- Kali Yuga | 5125 – 5126 |
Kalenda ya Kichina | 4720 – 4721 癸卯 – 甲辰 |
- 15 Februari - Robert Hofstadter, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1961
- 16 Februari - Elisabeth Eybers, mwandishi wa Afrika Kusini
- 28 Februari - Peter Medawar, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1960
- 7 Aprili - Billie Holiday, mwanamuziki Mmarekani
- 12 Mei - Frere Roger (Roger Schutz)
- 27 Mei - Herman Wouk, mwandishi Mmarekani, na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1952
- 10 Juni - Saul Bellow, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1976
- 15 Juni - Thomas Weller, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1954
- 1 Julai - Jean Stafford, mwandishi wa kike kutoka Marekani
- 4 Julai - Susanne Wenger, msanii kutoka Austria na kuhani wa Wayoruba nchini Nigeria
- 28 Julai - Charles Townes, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1964
- 27 Agosti - Norman Ramsey, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1989
- 23 Septemba - Clifford Shull, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1994
- 17 Oktoba - Arthur Miller, mwandishi kutoka Marekani
- 19 Novemba - Earl Sutherland, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1971
- 29 Novemba - Billy Strayhorn, mwanamuziki wa Marekani
- 30 Novemba - Henry Taube, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1983
- 7 Desemba - Eli Wallach, mwigizaji kutoka Marekani
- 19 Desemba - Édith Piaf, mwimbaji wa kike kutoka Ufaransa
- 26 Desemba - Teofilo Kisanji, askofu wa Kanisa la Moravian Tanzania
Waliofariki
- 20 Agosti - Paul Ehrlich, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1908
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz