1931
mwaka
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |Karne ya 19 |Karne ya 20| Karne ya 21
◄ |Miaka ya 1900 |Miaka ya 1910 |Miaka ya 1920 |Miaka ya 1930| Miaka ya 1940| Miaka ya 1950| Miaka ya 1960| ►
◄◄ |◄ |1927 |1928 |1929 |1930 |1931| 1932| 1933| 1934| 1935| ►| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1931 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
Waliozaliwa
Kalenda ya Gregori | 2024 MMXXIV |
Kalenda ya Kiyahudi | 5784 – 5785 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2777 |
Kalenda ya Ethiopia | 2016 – 2017 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1473 ԹՎ ՌՆՀԳ |
Kalenda ya Kiislamu | 1446 – 1447 |
Kalenda ya Kiajemi | 1402 – 1403 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2079 – 2080 |
- Shaka Samvat | 1946 – 1947 |
- Kali Yuga | 5125 – 5126 |
Kalenda ya Kichina | 4720 – 4721 癸卯 – 甲辰 |
- 20 Januari - David Lee, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1996
- 1 Februari - Boris Yeltsin, Rais wa Urusi (1991-1999)
- 18 Februari - Toni Morrison, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1993
- 22 Machi - Burton Richter, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1976
- 26 Mei - Sven Delblanc, mwandishi kutoka Uswidi
- 31 Mei - Robert Schrieffer, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1972
- 3 Juni - Raul Castro, rais wa nchi ya Kuba (tangu 2006)
- 15 Agosti - Richard Heck, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 2010
- 19 Agosti - Marianne Koch, mwigizaji wa filamu kutoka Ujerumani
- 23 Agosti - Hamilton Smith, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1978
- Septemba - Amedeus Msarikie, askofu Mkatoliki kutoka Tanzania
- 19 Septemba - Brook Benton, mwanamuziki kutoka Marekani
- 29 Septemba - James Cronin, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1980
- 7 Oktoba - Askofu Desmond Tutu
- 4 Novemba - Cleopa David Msuya, Waziri Mkuu wa Tanzania (1980-83 na 1994-95)
- 15 Novemba - Mwai Kibaki, Rais wa tatu wa Kenya
- 25 Desemba - Raphael S. Ndingi Mwana a'Nzeki aliyekuwa askofu mkuu wa Nairobi wa kanisa katoliki
bila tarehe
- Amedeus Msarikie, askofu Mkatoliki nchini Tanzania
Waliofariki
- 7 Januari – Edward Channing, mwanahistoria wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1926
- 26 Februari - Otto Wallach, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1910
- 8 Aprili - Erik Axel Karlfeldt, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1931
- 9 Mei - Albert Abraham Michelson, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1907
- 12 Julai - Nathan Söderblom, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani mwaka wa 1930
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz