13 Februari

tarehe
Jan - Februari - Mac
1234567
891011121314
15161718192021
22232425262728
29
Kalenda ya Gregori

Tarehe 13 Februari ni siku ya arubaini na nne ya mwaka. Mpaka uishe zinabaki siku 321 (322 katika miaka mirefu).

Matukio

Waliozaliwa

Waliofariki

Sikukuu

Wakristo wengi, wakifuata mapokeo ya Roma, huadhimisha kumbukumbu za watakatifu Martiniano wa Kaisarea, Kastori wa Karden, Beninyo wa Todi, Stefano wa Lyon, Stefano wa Rieti, Gosbati, Gimer, Fulkrano, Gilbati wa Meaux, Paulo Liu Hanzuo, Paulo Le-Van-Loc n.k.

Viungo vya nje

WikiMedia Commons
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu 13 Februari kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.