1922
mwaka
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |Karne ya 19 |Karne ya 20| Karne ya 21
◄ |Miaka ya 1890 |Miaka ya 1900 |Miaka ya 1910 |Miaka ya 1920| Miaka ya 1930| Miaka ya 1940| Miaka ya 1950| ►
◄◄ |◄ |1918 |1919 |1920 |1921 |1922| 1923| 1924| 1925| 1926| ►| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1922 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
- 6 Februari - Uchaguzi wa Papa Pius XI
Waliozaliwa
Kalenda ya Gregori | 2024 MMXXIV |
Kalenda ya Kiyahudi | 5784 – 5785 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2777 |
Kalenda ya Ethiopia | 2016 – 2017 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1473 ԹՎ ՌՆՀԳ |
Kalenda ya Kiislamu | 1446 – 1447 |
Kalenda ya Kiajemi | 1402 – 1403 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2079 – 2080 |
- Shaka Samvat | 1946 – 1947 |
- Kali Yuga | 5125 – 5126 |
Kalenda ya Kichina | 4720 – 4721 癸卯 – 甲辰 |
- 9 Januari - Har Khorana, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1968
- 28 Januari - Robert Holley, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1968
- 20 Machi - Carl Reiner, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 13 Aprili - Julius Nyerere, Rais wa kwanza, "Mwalimu" na "Baba wa Taifa" wa Tanzania
- 22 Aprili - Charles Mingus, mwanamuziki wa Marekani
- 1 Mei - Tad Mosel, mwandishi kutoka Marekani
- 27 Mei - Christopher Lee, mwigizaji filamu kutoka Uingereza
- 13 Juni - Etienne Leroux, mwandishi wa Afrika Kusini
- 15 Julai - Leon Lederman, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1988
- 19 Julai - George McGovern, mwanasiasa kutoka Marekani
- 9 Septemba - Hans Georg Dehmelt, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1989
- 22 Septemba - Chen Ning Yang, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1957
- 19 Oktoba - Elsa Joubert, mwandishi wa Afrika Kusini
- 14 Novemba - Boutros Boutros-Ghali, mwanasiasa wa Misri, na Katibu Mkuu wa UM (1992-1996)
- 16 Novemba - Jose Saramago, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1998
- 17 Novemba - Stanley Cohen, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1986
- 23 Novemba - Joan Fuster, mwandishi wa Kikatalani kutoka Hispania
- 14 Desemba - Nikolai Basov, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1964
bila tarehe
- Abdullah bin Faisal Al Saud, mwana wa Mfalme wa Saudia
Waliofariki
- 22 Januari - Papa Benedikt XV
- 22 Januari - Fredrik Bajer, mwanasiasa Mdenmark, na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani mwaka wa 1908
- 18 Mei - Alphonse Laveran, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1907
- 2 Agosti - Alexander Graham Bell, mgunduzi wa mawasiliano ya simu)
- 18 Novemba - Marcel Proust, mwandishi kutoka Ufaransa
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz