1924
mwaka
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |Karne ya 19 |Karne ya 20| Karne ya 21
◄ |Miaka ya 1890 |Miaka ya 1900 |Miaka ya 1910 |Miaka ya 1920| Miaka ya 1930| Miaka ya 1940| Miaka ya 1950| ►
◄◄ |◄ |1920 |1921 |1922 |1923 |1924| 1925| 1926| 1927| 1928| ►| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1924 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
- 3 Machi - Uongonzi wa Khalifa umepinduliwa na Kemal Atatürk.
Waliozaliwa
Kalenda ya Gregori | 2024 MMXXIV |
Kalenda ya Kiyahudi | 5784 – 5785 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2777 |
Kalenda ya Ethiopia | 2016 – 2017 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1473 ԹՎ ՌՆՀԳ |
Kalenda ya Kiislamu | 1446 – 1447 |
Kalenda ya Kiajemi | 1402 – 1403 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2079 – 2080 |
- Shaka Samvat | 1946 – 1947 |
- Kali Yuga | 5125 – 5126 |
Kalenda ya Kichina | 4720 – 4721 癸卯 – 甲辰 |
- 10 Januari - Max Roach, mwanamuziki kutoka Marekani
- 11 Januari - Roger Guillemin, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1977
- 8 Februari - Lisel Mueller, mshairi kutoka Marekani
- 23 Februari - Allan Cormack, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1979
- 3 Aprili - Marlon Brando, mwigizaji filamu kutoka Marekani
- 11 Mei - Antony Hewish, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1974
- 16 Mei - Dawda Jawara, Rais wa Gambia (1970-1994)
- 3 Juni - Torsten Wiesel, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1981
- 12 Juni - George H. Bush, Rais wa Marekani (1989-93)
- 14 Juni - James Black, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1988
- 1 Agosti - Georges Charpak, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia, mwaka wa 1992
- 19 Agosti - Willard Boyle, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 2009
- 22 Agosti - James Kirkwood, mwandishi Mmarekani, na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1976
- 31 Agosti - Buddy Hackett, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 2 Septemba - Daniel arap Moi, Rais wa pili wa Kenya
- 13 Septemba - Maurice Jarre, mwanamuziki kutoka Ufaransa
- 1 Oktoba - Jimmy Carter, Rais wa Marekani (1977-81)
- 28 Novemba - Dennis Brutus, mwandishi kutoka Afrika Kusini
- Desemba - Girma Wolde-Giorgis, Rais wa Ethiopia
Waliofariki
- 21 Januari - Vladimir Lenin, kiongozi wa Umoja wa Kisovyeti
- 3 Februari - Woodrow Wilson, Rais wa Marekani, na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani mwaka wa 1919
- 19 Mei - Mtakatifu Maria Bernarda Buetler, bikira Mfransisko mmisionari kutoka Uswisi
- 3 Juni - Franz Kafka, mwandishi wa Kijerumani kutoka milki ya Austria-Hungaria
- 12 Oktoba - Anatole France, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1921
- 29 Novemba - Giacomo Puccini, mtunzi wa opera kutoka Italia
- 29 Desemba - Carl Spitteler, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1919
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz