Nenda kwa yaliyomo

Papa Alexander IV

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Aleksanda IV.

Papa Alexander IV (takriban 119925 Mei 1261) alikuwa Papa kuanzia tarehe 12/20 Desemba 1254 hadi kifo chake[1]. Alitokea Jenne, Roma, Italia[2].

Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Rinaldo. Alikuwa mpwa wa Papa Gregori IX.

Alimfuata Papa Inosenti IV akafuatwa na Papa Urbano IV.

Tazama piahariri chanzo

Tanbihihariri chanzo

Viungo vya njehariri chanzo

Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Alexander IV kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoShairiJumuiya ya Afrika MasharikiUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaFasihi simuliziNembo ya TanzaniaMshororoMikoa ya TanzaniaVivumishiOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoPentekosteAina za manenoTanzaniaKamusi za KiswahiliMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaOrodha ya makabila ya TanzaniaAfrika Mashariki 1800-1845Orodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUpendo Furaha PenezaMafurikoMisimu (lugha)KumaKisaweSentensiDiamond PlatnumzKamusi ya Kiswahili sanifuKamusiMisemoMaudhuiSimba S.C.Ukwapi na utaoTanganyikaOrodha ya Watakatifu WakristoNgeliLahaja za KiswahiliMaumivu ya kiunoRoho MtakatifuNomino